Dar es Salaam. Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amekiri Simba wanastahili kuwa mabingwa kutokana na kiwango chao cha hali juu msimu huu.
Simba inaongoza Ligi Kuu ikiwa na pointi 65, ikifuatiwa na Azam (49) na Yanga (48) wakati ligi hiyo ikielekea mwishoni.
Ngassa alisema tangu Simba wameanza ligi wamekuwa wakiongoza, hawajapoteza mechi yoyote na wameweza kupata pointi dhidi ya timu tatu za juu jambo ambalo lilikuwa ishara tosha msimu huu wapo vizuri.
"Simba ina wachezaji wenye uwezo binafsi wa kuamua mechi ngumu, na ndio timu ambayo inaonekana kukamilika katika kila idara jambo ambalo usipowapa pongezi utakuwa si mtu wa mpira," alisema Ngassa aliyewahi kucheza Yanga na Azam.
Jumanne, 8 Mei 2018
NGASSA: SIMBA WAPEWE KOMBE LEO!!!
Tags
# MICHEZO

About Smartdesmart
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of soratemplates is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
MICHEZO
Lebo:
MICHEZO
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni